Mad Ice

Malaika Lyrics

Malaika video

Mad Ice
Overview
Mad Ice - Maneno album
ALBUM
Votes:
0
Tags:
  • afrikan
Wrong lyrics?

Mad Ice - Malaika lyrics

(Intro)

Uuwo uweeee... uwoo mama.

Sema malaika... heya... nakupenda wee.

(Chorus)

Malaika nakupenda malaika

Malaika nakupenda malaika

(Verse 1)

Nami nifanyeje

Kijana mwenzio x 2

Furaha moyoni napo kutia machoni

Si utani angel kwako niko hoi x 2

Nashindwa na mali mi sina wee

Ningekuoa malaika x 2

(Chorus)

Malaika nakupenda malaika

Malaika nakupenda malaika x 2

(Verse 2)

Kidege kukuwaza wee kidege

Ohoo kidege kukuwaza wee kidege

Usiku silali mawazo mengi darlin'

Nawaza ningekua na hiyo mimali

Nikakulipia mali nikawa nawe mwali
Mad Ice - Malaika - http://motolyrics.com/mad-ice/malaika-lyrics.html
Nadhani mambo mengi kwangu yange kua swari

Nashindwa na mali mi sina wee

Ningekuoa malaika x 2

(Chorus)

Malaika nakupenda malaika

Malaika nakupenda malaika x 2

(Verse 3)

Pesa pesa zasumbua roho yangu

Mi nasema pesa pesa...

Zasumbua roho yangu

Uzuri wako malaika

Unanifanya nipagawe malaika

Kila napokuona malaika...

Nabaka nahangaika malaika wewe

Ohoo Owuooh

Malaika... Eeh nakupenda malaika

Malaika... Ooh nakupenda malaika wewe

Malaika... Heya nakupenda nakupenda wewe

Malaika... nakupenda malaika

Nakupenda wewe

Nakupenda wewe

Nakupenda wewe... til fade.

Write a comment

What do you think about song "Malaika"? Let us know in the comments below!

More "Maneno" Album Lyrics

Recommended songs