- Votes:
- See also:
Rusty - Sanaa lyrics
Chorus
 Skiza mistari, vile mimi natimiza
 Ndoto yangu, kutoka kwenye giza
 Kwenye Sanaa, msanii natumbuiza
 Wengi walisema, mziki sio career
 Kaa chini, bro hebu fikiria
 Kushika MIC, kajifunza kuitumia
 Kwenye mawazo, yangu natilia
 Mkazo mkali, basi masaa yatimia
 Verse 1
 Saa hii nimeibuka
 Masaa imefika wasanii kugutuka
 Kutoka underground, this time nainuka
 Mziki elimisha wala sio kwa payuka
 Skia hiyo beat vile mi nimeisuka
 Piracy mitumba, Origy Ni Kwa duka
 Hip Hop iligenya saa hii imefufuka
 Usiponisikia we mwenyewe utajuta
 Majuto Ni mjukuu basi we usijiduu
yeah
 Verse 2
 Tangu nianze usanii kuna madeni nimekopa
 Pengine ningechanga doh, ningekuwa Na chopper
 Saa hii mi celeb, underground nimetoka
 Nimetoka mbali, ukiniona we toroka
 Kufuata, mafala, wajanja naogopaRusty - Sanaa - http://motolyrics.com/rusty/sanaa-lyrics.html
 Mbio za nyikani, any time nachomoka
 Wazazi wanikanya, wanasema napotoka
 Kijana nsikilize mi mamako naokoka
 Dunia mbaya sana, na ufalme ni wa nyoka
 Vijana, wasichana wote wanacheza soka
 Nini?, eti wanacheza soccer! 
 Vijana, wasichana wote wanacheza soccer
 Verse 3
 Ma time zimefika Piaily Na Babily kujulikana
 Kutoka long time, this time twapambana
 Bidii toka nayo tume hustle tena sana
 Methali yangu, Ina maana nyingi Sana
 Wengi wameshindwa kuichambua noma Sana
 Mziki sio game usipo hit uwe blame jinga Sana
 Nakupa tabasamu mikono nakurushia
 Maisha ni machungu na raha kukimbilia
 Big Unit tunasema huwezi tukimbia
 Popote utaenda sisi tutakufikia
 Nakupa kitu kali Piaily Na Rusty boy
 A.k.a. Wakily
 Outro
 Ukoo Gani
 Squad Safi
 Moss, Piaily, Babily na Rinty Binty
 Yeah
One Luv









